- 2025-02-21
-
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, ameeleza kuwa Serikali itaendelea......
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, ameeleza kuwa Serikali itaendelea kuimarisha ulinzi katika misitu ya hifadhi ili isipoteze uhalisia wake lakini kuongeza kasi ya maendeleo ya sekta za Kilimo na Utalii.<br> <p> Shamata alieleza hayo wakati wa Ugawaji wa sare za kazi kwa wafanyakazi wa kitengo cha uhifadhi wa msitu wa Kiwengwa Pongwe, wilaya wa Kaskazini ‘B’, mkoa wa Kaskazini Unguja.</p> <p> Amesema hatua hiyo imetokana na azma ya Wizara
Read More - 2025-02-21
-
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Mifugo Asha Zahran Mohammed akimpa huduma ya chanjo mbwa....
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Mifugo Asha Zahran Mohammed akimpa huduma ya chanjo mbwa, ikiwa ni Uzinduzi wa Zoezi la Chanjo dhidi ya kichaa cha mbwa, hafla hiyo imefanyika Ndijani mseweni Wilaya ya kati Unguja.
Read More - 2025-02-21
-
Waziri wa Kilimo,Umwangiliaji,Maliasili na Mifugo Mhe shamata Shaame khamis amezindua mradi wa Mitego ya kutokomeza kunguru
Waziri wa Kilimo,Umwangiliaji,Maliasili na Mifugo Mhe shamata Shaame khamis amezindua mradi wa Mitego ya kutokomeza kunguru.kwa lengo la kupunguza idadi kubwa ya Kunguru na madhara yatokanayo na adui Kunguru kwa jamii. Ghafla hiyo fupi ya uzinduzi ilifanyika katika ofisi za kilimo Maruhubi Zanzibar. Mradi huo wa miaka 10 unasimamiwa na Idara ya Misitu ambapo watengenezaji wa Mitego hiyo ni kampuni ya Andrew Crow Traps Shopping Center. Inayongozwa na Meneja Andrew Wilbard .
Read More - 2025-02-19
-
WADAU KUTOKA WILAYA MBALIMBALI WAKUTANA PAMOJA NA WADAU WENGINE, WAMEUNGANA KUANZISHA MULTI-STAKEHOLDER PLATFORM CHINI YA MRADI WA FOLUR LENGO KUU NI KULETA MABADILIKO CHANYA.
Wadau kutoka Wilaya za Kilombero na Mlimba, ZAWA, Wizara ya Ardhi, wataalamu wa misitu, pamoja na wadau wengine, wameungana kuanzisha Multi-Stakeholder Platform chini ya Mradi wa FOLUR! Lengo kuu ni kuleta mabadiliko chanya kwa maendeleo endelevu kwa kuhakikisha matumizi bora ya ardhi na maji, urejeshaji wa miti na mimea, na kuimarisha mifumo ya chakula. Kupitia ushirikiano huu, wadau wataweka mikakati thabiti ya kulinda na kuhifadhi rasilimali za asili, kupunguza athari za mabadiliko ya
Read More
-
N/AºC, Unable to fetch data
-
Saturday, 22nd February, 2025