Bibishamba Khadija Hamad Ali, Atoa Elimu ya Uzalishaji wa Mpunga kwa Wakulima wa Mkoani Pemba.
<p>Bibishamba khadija hamad Ali akitowa maelezo kwa Mkulima Khamis Juma Mgwali katika shamba darasa la uzalishaji wa Mpunga liopo Mlemele...
Waziri wa Kilimo Mhe. Suleiman Masoud Makame (katikati) akikagua Maendeleo ya Kilimo katika Bonde la Mlemele, Pemba
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Suleiman Masoud Makame (katikati), akiwa na Bibi shamba, Khadija Hamad Ali (kushoto) na...
Waziri wa Kilimo Mhe. Suleiman Masoud Makame, Azindua Zoezi la Uwekaji Bikoni Kuimarisha Mipaka ya Msitu wa Hifadhi ya Ngezi Vumawimbi.
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mh. Suleiman Masoud Makame amezindua zoezi la uwekaji wa Bikoni katika mipaka ya Msitu...
Waziri Suleiman Masoud Makame. Akutana na Uongozi wa MB Homes Kujadili Uwekezaji katika Kilimo na Mifugo Zanzibar
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Mhe. Suleiman Masoud Makame amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa MB Homes Huseyin Buyukballi katika...
Serikali Yazindua Mafunzo ya Siku 20 Kukabiliana na Wadudu na Maradhi ya Mazao Zanzibar
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Mhe. Suleiman Masoud Makame afunguwa Mafunzo ya utibabu wa minaza,Matunda na Mboga Mboga kwa...
Naibu Waziri wa Kilimo Dkt. Salum Soud Hamed Akutana na JICA Kujadili Ushirikiano Mpya wa Miradi ya Kilimo na Mafunzo kwa Maafisa
<p>Naibu Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Mhe. Dkt. Salum Soud Hamed amefanya mazungumzo na Mwakilishi kutoka Ofisi ya JICA...

