Wizara ya Kilimo Yasaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Mradi wa Mageuzi ya Uzalishaji wa Maziwa ya Ng\\\'ombe unaozingatia Mabadiliko ya Tabia ya Nchi
<p>Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo kupitia Mradi wa Mageuzi wa uzalishaji Ngo'mbe wa Maziwa unaozingatia...
Mhe. Suleiman Masoud Makame Azindua Vifaa Vipya vya Zana za Kilimo na Uzalishaji wa Sukari Kiwanda cha Mahonda
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Suleiman Masoud Makame, akizindua vifaa vya zana za kilimo na uzalishaji wa sukari katika...
WAZIRI MAKAME AZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KICHAA CHA MBWA
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Suleiman Masoud Makame, amezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo ya ugonjwa wa kichaa...
WAZIRI WA KILIMO, UMWAGILIAJI, MALIASILI NA MIFUGO, MHE. MAKAME ATEMBELEA KIWANDA CHA MTINDI (THE ISLAND), ZANZIBAR.
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Suleiman Masoud Makame, ametembelea kiwanda cha mtindi cha (The Island) kilichopo Kwa...
SHIRIKA LA MAENDELEO LA UFARANSA LAANGALIA FURSA ZA KUISAIDIA SEKTA YA KILIMO NCHINI
<p>Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) imefanya mazungumzo yenye lengo la...
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Suleiman Masoud Makame Aahidi Kuimarisha Ushirikiano na IAEA katika Maendeleo ya Kilimo na Mifugo
<p>Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Suleiman Masoud Makame, amelishukuru Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomu Duniani...

