- 2025-05-20
-
WAZIRI WA KILIMO UMWAGILIAJI MALIASILI NA MIFUGO MHE. SHAMATA SHAAME KHAMIS ASHIRIKI KATIKA UPANDAJI MITI KWA MAAZIMISHO YA SIKU YA MISITU DUNIA.
Serikali itaendelea kuhamasisha na kutoa elimu kwa jamii juu ya suala zima uhifadhi wa misitu na upandaji wa miti<br><p>Ameyaeleza hayo Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Shamata Shaame Khamis alipokuwa katika madhimisho ya siku ya misitu Duniani yalioyofanyika Bumbwini Mkoa wa Kaskizini Unguja.</p><p>Amesema ni vyema jamii kushirikiana kwa pamoja katika uhifadhi wa misitu kwani hupelekea kuboresha mazingira na kutunza vyanzo vya maji na kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya
N/AºC, Unavailable
Wednesday, 3rd September, 2025