LATEST NEWS & EVENTS

100% Complete
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo,  Shamata Shaame Khamis, amelaani vikali kitendo cha wizi wa transfoma mbili zenye thamani ya shilingi milioni  28 kilichofanywa na watu wasiojulikana katika maeneo ya mabonde ya Umwagiliaji huko Cheju, Wilaya ya Kati Unguja.
2025-09-12
Agriculture

Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, amelaani vikali kitendo cha wizi wa transfoma mbili zenye thamani ya shilingi milioni 28 kilichofanywa na watu wasiojulikana katika maeneo ya mabonde ya Umwagiliaji huko Cheju, Wilaya ya Kati Unguja.

Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, amelaani vikali kitendo cha wizi wa transfoma mbili zenye thamani ya...

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo kufanya kazi kwa nidhamu, uwajibikaji na weledi ili kuhakikisha huduma bora kwa wananchi. nipe kichwa cha habari
2025-08-29
Agriculture

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo kufanya kazi kwa nidhamu, uwajibikaji na weledi ili kuhakikisha huduma bora kwa wananchi. nipe kichwa cha habari

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo kufanya kazi kwa...

WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA WADAU KUKUZA SEKTA YA KILIMO
2025-09-12
Agriculture

WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA WADAU KUKUZA SEKTA YA KILIMO

Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuimarisha sekta ya kilimo...

MISITU NI MUHIMU KWA UHAI WA BINAADAMU
2025-08-14
Forest

MISITU NI MUHIMU KWA UHAI WA BINAADAMU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amesema kuwa misitu ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya uhai kwa...

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuleta Mageuzi ya Kilimo Nchini.
2025-08-14
Agriculture

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuleta Mageuzi ya Kilimo Nchini.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuleta mageuzi ya kilimo nchini.<p>Hayo yameelezwa na Makamu wa Pili wa Rais Mhe Hemed Suleman Abdulla...

 Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, Ali Khamis Juma leo tarehe 26/7/2025 amezindua kitabu cha Uzinduzi wa Mikoko
2025-07-26
Forest

Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, Ali Khamis Juma leo tarehe 26/7/2025 amezindua kitabu cha Uzinduzi wa Mikoko

Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, Ali Khamis Juma leo tarehe 26/7/2025 amezindua kitabu cha Uzinduzi wa Mikoko...