Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, amelaani vikali kitendo cha wizi wa transfoma mbili zenye thamani ya shilingi milioni 28 kilichofanywa na watu wasiojulikana katika maeneo ya mabonde ya Umwagiliaji huko Cheju, Wilaya ya Kati Unguja.
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, amelaani vikali kitendo cha wizi wa transfoma mbili zenye thamani ya...
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo kufanya kazi kwa nidhamu, uwajibikaji na weledi ili kuhakikisha huduma bora kwa wananchi. nipe kichwa cha habari
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo kufanya kazi kwa...
WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA WADAU KUKUZA SEKTA YA KILIMO
Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuimarisha sekta ya kilimo...
MISITU NI MUHIMU KWA UHAI WA BINAADAMU
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amesema kuwa misitu ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya uhai kwa...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuleta Mageuzi ya Kilimo Nchini.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuleta mageuzi ya kilimo nchini.<p>Hayo yameelezwa na Makamu wa Pili wa Rais Mhe Hemed Suleman Abdulla...
Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, Ali Khamis Juma leo tarehe 26/7/2025 amezindua kitabu cha Uzinduzi wa Mikoko
Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, Ali Khamis Juma leo tarehe 26/7/2025 amezindua kitabu cha Uzinduzi wa Mikoko...

