UTANGULIZI
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula ni moja kati ya Idara kongwe katika Wizara ya Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo.
MAJUKUMU MAKUU YA IDARA
Lengo kuu la Idara ni kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara ili kuchangia pato la nchi, mapato ya wakulima na kupunguza utegemezi wa kuagiza mazao ya chakula kutoka nje ya Zanzibar.
Kwa kusim