- 2025-02-21
-
Waziri wa Kilimo,Umwangiliaji,Maliasili na Mifugo Mhe shamata Shaame khamis amezindua mradi wa Mitego ya kutokomeza kunguru
Waziri wa Kilimo,Umwangiliaji,Maliasili na Mifugo Mhe shamata Shaame khamis amezindua mradi wa Mitego ya kutokomeza kunguru.kwa lengo la kupunguza idadi kubwa ya Kunguru na madhara yatokanayo na adui Kunguru kwa jamii. Ghafla hiyo fupi ya uzinduzi ilifanyika katika ofisi za kilimo Maruhubi Zanzibar. Mradi huo wa miaka 10 unasimamiwa na Idara ya Misitu ambapo watengenezaji wa Mitego hiyo ni kampuni ya Andrew Crow Traps Shopping Center. Inayongozwa na Meneja Andrew Wilbard .
- 2025-02-19
-
WADAU KUTOKA WILAYA MBALIMBALI WAKUTANA PAMOJA NA WADAU WENGINE, WAMEUNGANA KUANZISHA MULTI-STAKEHOLDER PLATFORM CHINI YA MRADI WA FOLUR LENGO KUU NI KULETA MABADILIKO CHANYA.
Wadau kutoka Wilaya za Kilombero na Mlimba, ZAWA, Wizara ya Ardhi, wataalamu wa misitu, pamoja na wadau wengine, wameungana kuanzisha Multi-Stakeholder Platform chini ya Mradi wa FOLUR! Lengo kuu ni kuleta mabadiliko chanya kwa maendeleo endelevu kwa kuhakikisha matumizi bora ya ardhi na maji, urejeshaji wa miti na mimea, na kuimarisha mifumo ya chakula. Kupitia ushirikiano huu, wadau wataweka mikakati thabiti ya kulinda na kuhifadhi rasilimali za asili, kupunguza athari za mabadiliko ya
- 2025-02-19
-
WAZIRI WA KILIMO UMWAGILIAJI MALIASILI NA MIFUGO MHE. SHAMATA SHAAME KHAMIS AKIKABIDHI UNIFORM KWA WAFANYAKAZI WA HIFADHI YA MSITU WA KIWENGWA KATIKA ENEO LA KIWENGWA PONGWE WILAYA YA KASKAZINI B UNGUJA.
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, ameeleza kuwa Serikali itaendelea kuimarisha ulinzi katika misitu ya hifadhi ili isipoteze uhalisia wake lakini kuongeza kasi ya maendeleo ya sekta za Kilimo na Utalii. Shamata alieleza hayo wakati wa Ugawaji wa sare za kazi kwa wafanyakazi wa kitengo cha uhifadhi wa msitu wa Kiwengwa Pongwe, wilaya wa Kaskazini �B�, mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema hatua hiyo imetokana na azma ya Wizara kuimarisha
N/AºC, Unavailable
Tuesday, 15th July, 2025