
AFISA Kiungo katika Kitengo cha Elimu kwa Wakulima Zanzibar
<p><strong><em>NA SALAMA MOHAMED, WKUMM</em></strong>. AFISA Kiungo katika Kitengo cha Elimu kwa Wakulima Zanzibar kupitia Mradi wa Uhimilivu wa...

Mabibi na mabwana wa mashamba kutoka Unguja na Pemba wakiwa katika
Mabibi na mabwana wa mashamba kutoka Unguja na Pemba wakiwa katika ziara ya kimafunzo kwenye Shamba la Mbegu za Nafaka la Taasisi ya Utafiti wa...

Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, amelaani vikali kitendo cha wizi wa transfoma mbili zenye thamani ya shilingi milioni 28 kilichofanywa na watu wasiojulikana katika maeneo ya mabonde ya Umwagiliaji huko Cheju, Wilaya ya Kati Unguja.
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, amelaani vikali kitendo cha wizi wa transfoma mbili zenye thamani ya...

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo kufanya kazi kwa nidhamu, uwajibikaji na weledi ili kuhakikisha huduma bora kwa wananchi. nipe kichwa cha habari
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amewataka waajiriwa wapya wa wizara hiyo kufanya kazi kwa...

WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA WADAU KUKUZA SEKTA YA KILIMO
Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuimarisha sekta ya kilimo...

MISITU NI MUHIMU KWA UHAI WA BINAADAMU
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Ali Khamis Juma, amesema kuwa misitu ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya uhai kwa...