N/AºC, Unavailable
Tuesday, 15th July, 2025
Posted: 2025-02-24
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, akishiriki ziara maalum ya Mhe. Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ya kutembelea katika masoko Jumbi, Mwanawerekwe na Darajani ili kusikiliza changamoto za wafanyabiashara pamoja na kuangalia bei za bidhaa katika maeneo yote ya biashara.