Event Details
Photo

Posted: 2025-02-24

Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis

Description

Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, akishiriki ziara maalum ya Mhe. Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ya kutembelea katika masoko Jumbi, Mwanawerekwe na Darajani ili kusikiliza changamoto za wafanyabiashara pamoja na kuangalia bei za bidhaa katika maeneo yote ya biashara.

Follow Us