Mradi wa TFSRP Wawajengea Uwezo Maafisa Ugani Zanzibar
<p>Mradi wa Uhimilivu wa Mifumo ya Chakula (TFSRP) Zanzibar umeendesha mafunzo kwa maafisa ugani kutoka mabonde ya umwagiliaji kuhusu matumizi ya...
Naibu Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Dr. Salum Soud Hamed Akutana na Wataalamu wa China Kujadili Mradi wa JUNCAO Zanzibar
<p>Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Dkt. Salum Soud Hamed, amekutana na kiongozi wa wataalamu kutoka China,...
Kamati ya ZNBC Yajadili Kuimarisha Biashara ya Mazao Zanzibar
<p>Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Mazingira ya Baraza la Taifa la Biashara Zanzibar (ZNBC), Mhe. Suleiman Masoud Makame, ameongoza...
Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo, Ndg. Saleh Mohamed Juma Awataka Wakulima Kaskazini Unguja Kuthamini Mafunzo ya Mradi wa FOLUR.
<p>Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Saleh Mohamed Juma amewataka wakulima wa Mpunga wa Mkoa wa Kaskazini Unguja...
VIONGOZI WAJADILIANA KUHUSU KUENDELEZA NA KUKUZA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA MBALIMBALI.
<p>Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Judith Kapinga(Mb), akiwa pamoja na Naibu Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Zanzibar,...
Bytrade Tanzania Limited Yaitambulisha Biashara ya Pembejeo Kwa Ajili ya Kuinua Kilimo Zanzibar.
<p>Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar Suleiman Masoud Makame amefanya mazungumzo na Mkuregenzi wa Fedha wa kampuni ya...

