- Total Visitors: 45,616
Wednesday, 26th November, 2025
Posted: 2025-11-26
Naibu Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Dkt Salum Soud Hamed, akifungua Mafunzo ya Shamba darasa ya Zanzibar Green Culture Organisation(ZAGCO) kwa Vijana waliohitimu na wanaoendelea na masomo ya fani ya kilimo na Mifugo huko katika Viwanja vya maonesho Kizimbani Wilaya ya Magharibi A Unguja.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers