- Total Visitors: 111,887
Friday, 23rd January, 2026
Posted: 2025-11-26
Naibu Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Dkt Salum Soud Hamed, akifungua Mafunzo ya Shamba darasa ya Zanzibar Green Culture Organisation(ZAGCO) kwa Vijana waliohitimu na wanaoendelea na masomo ya fani ya kilimo na Mifugo huko katika Viwanja vya maonesho Kizimbani Wilaya ya Magharibi A Unguja.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers