- Total Visitors: 252,239
Thursday, 14th May, 2026
Posted: 2026-05-11
Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar, Mhe Suleiman Masoud Makame akimuwakilisha Waziri wa nchi afisi ya Rais ,Katiba ,Sheria ,Utumishi na Utawala bora amefungua kikao cha wadau wa Zanzibar cha kupitia na Kuhakiki rasimu ya taarifa ya hali ya haki za binaadamu katika mzunguko wa nne wa mfumo wapitio ya kipindi maalum kilichofanyika Ukumbi wa Hotel ya Madinatul bahar Mbweni Zanzibar.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers