- Total Visitors: 243,313
Wednesday, 6th May, 2026
Posted: 2026-05-05
Mradi wa Uhimilivu wa Mifumo ya Chakula (TFSRP) Zanzibar umeendesha mafunzo kwa maafisa ugani kutoka mabonde ya umwagiliaji kuhusu matumizi ya dhana za kilimo na maandalizi ya vitalu vya mkeka. Mafunzo hayo yanalenga kuongeza ubunifu katika kazi zao na kuwasaidia wakulima kujifunza mbinu za kisasa za kilimo.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers