- Total Visitors: 191,544
Thursday, 26th March, 2026
Posted: 2026-03-26
Wanajamii wa Bumbwini Mafufuni wakipanda miti ya mikoko ikiwa ni miongoni mwa Mafunzo ya vitendo yaliyotolewa kupitia Mradi wa Pamoja Zanzibar Joint Program unaofahiliwa na Shirika la kimataifa la Mazingira ÙNEP) ikilenga kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia nchi kwa kurejesha mikoko katika maeneo yaliyoharibika pamoja na kulinda mazingira.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers