- Total Visitors: 181,961
Thursday, 19th March, 2026
Posted: 2026-03-19
Naibu Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Dkt. Salum Soud Hamed, ameshiriki zoezi la upandaji wa miche 250 ya minazi katika Kituo cha Kilimo Bambi akimwakilisha Waziri Mhe. Suleiman Masoud Makame. Amesema hatua hiyo inalenga kuimarisha uzalishaji wa zao la minazi, kuongeza kipato kwa wakulima na kukuza uchumi wa nchi.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers