- Total Visitors: 238,644
Saturday, 2nd May, 2026
Posted: 2026-03-17
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Suleiman Masoud Makame, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kuhusu kampeni ya upandaji miti katika msimu wa mvua za masika zinazoendelea kunyesha, mkutano ulifanyika ukumbi wa mikutano wa ASSP Maruhubi Zanzibar.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers