- Total Visitors: 137,503
Thursday, 12th February, 2026
Posted: 2026-02-12
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mhe. Suleiman Masoud Makame, ametembelea kiwanda cha mtindi cha (The Island) kilichopo Kwa Mchina, Zanzibar, kujionea uzalishaji wa bidhaa zitokanazo na Mifugo,
\r\n\\r\\nna kupokelewa na Meneja wa kampuni hiyo, Ubwa Ali Omar. Ziara hiyo ilihudhuriwa pia na Naibu Waziri, Dkt. Salum Soud Hamed, pamoja na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Mifugo, Asha Zaharan Mohamed.
\\r\\n
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers