- Total Visitors: 45,616
Wednesday, 26th November, 2025
Posted: 2025-11-25
Kikao cha makatibu wakuu na wakurugenzi watendaji kimefanyika katika Hoteli ya Verde, Maruhubi Zanzibar, kikiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Saleh Mohamed Juma . Kikao kilijadili utekelezaji wa Mradi wa Mageuzi ya Ufugaji wa Maziwa unaozingatia mabadiliko ya tabia nchi, unaofadhiliwa na IFAD Mashirika Binafsi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mradi huo wenye lengo la kuboresha Sekta ya ufugaji wa ng’ombe wa maziwa kwa njia rafiki kwa Mazingira,kuongeza uzalishaji ili kuinua kipato na lishe. Washiriki walisisitiza ushirikiano na ufuatiliaji madhubuti kuhakikisha mradi unatekelezwa kwa mafanikio Tanzania Bara na Zanzibar.
\r\nFans
Followers
Followers
Subscribers