REVOLUTIONARY GOVERNMENT OF ZANZIBAR

MINISTRY OF AGRICULTURE, IRRIGATION, NATURAL RESOURCES AND LIVESTOCK

NEWS AND EVENTS


60% Complete (warning)
  • 2024-07-19
  • WAZIRI WA KILIMO, UMWAGILIAJI, MALIASILI NA MIFUGO MHE. SHAMATA SHAAME KHAMIS AMEKABIDHI NG´OMBE 23 KWA WAFUGAJI WA KIKUNDI CHA MPAPA MNDAPOLE KUPITIA USHIRIKA WA WAFUGAJI UNGUJA (UDAKU), KATIKA ENEO LA UFUGAJI KISAKASAKA WILAYA YA MAGHARIBI " B ".

    waziri wa kilimo, umwagiliaji, maliasili na mifugo mhe. shamata shaame khamis amekabidhi ng´ombe 23 kwa wafugaji wa kikundi cha Mpapa Mndapole kupitia Ushirika wa wafugaji Unguja (UDAKU), katika eneo la Ufugaji Kisakasaka Wilaya ya Magharibi " B ".

    Ng´ombe hao ambao ni mkopo kutoka mradi shirikishi wa Ufugaji na Usindikaji wa Maziwa unaofadhiliwa na Benki ya Maendeo ya Kilimo TADB, wamekabidhiwa kwa wafugaji kwa lengo la kuengeza uzalishaji wa Maziwa hapa nchini.

    Mhe. Shamata

    Read More
  • 2024-07-15
  • WAZIRI WA KILIMO, UMWAGILIAJI, MALIASILI NA MIFUGO MHE. SHAMATA SHAAME KHAMIS AMEWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KATIKA MAONESHO YA KILIMO NANENANE ILI KUWEZA KUJIFUNZA MBINU ZA KILIMO ZITAKAZO ONGEZA UZALISHAJI WENYE TIJA.

    Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Mhe. Shamata Shaame Khamis amewataka wananchi kushiriki katika Maonesho ya kilimo Nane nane ili kuweza kujifunza mbinu za Kilimo zitakazo ongeza Uzalishaji wenye Tija.

    Waziri Shamata ametoa wito huwo wakati akitoa taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusiana na mataarisho ya Maonesho ya Kilimo yanayotarajiwa kufanyika tarehe 01/08/2024 katika Viwanja vya Maonesho Dole Kizimbani Unguja.

    Amesema lengo la Maonesho hayo ni

    Read More
  • 2024-06-24
  • SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ITAENDELEA KUCHUKUA JITIHADA ZAKE KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA KILIMO ILI IWEZE KUMSAIDIA MKULIMA KATIKA SUALA LA UZALISHAJI NA UPATIKANAJI WA UHAKIKA WA CHAKULA NCHINI NA KUA ENDELEVU.

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuchukua Jitihada zake katika kuimarisha Sekta ya Kilimo ili iweze kumsaidia Mkulima katika suala la Uzalishaji na Upatikanaji wa uhakika wa Chakula nchini na kua endelevu.

    Jitihada hizo zinaenda sambamba katika kuwainua wakulima hasa katika kuwajengea miundombinu imara katika shughuli za kilimo ili zitumike katika kuleta Maendeleo makubwa na kujipatia kipato.

    Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Shamata

    Read More
  • 2024-06-11
  • WAZIRI WA KILIMO, UMWANGILIAJI, MALIASILI NA MIFUGO MHE SHAMATA SHAAME KHAMIS AMEITAKA IDARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA TASISI YA UTAFITI WA MIFUGO (ZALIRI) KUWA NA MASHIRIKIANO KATIKA KUFANYAKAZI ZA KUWAHUDUMIA WAFUGAJI NCHINI.

    Waziri wa kilimo,Umwangiliaji,Maliasili na Mifugo mhe shamata Shaame khamis ameitaka idara ya maendeleo ya mifugo na tasisi ya utafiti wa Mifugo (ZALIRI) kuwa na mashirikiano katika kufanyakazi za kuwahudumia wafugaji nchini.

    Aliyasema hayo katika kikao cha maafisa mifugo na Madaktari kutoka idara ya Maendeleo ya Kilimo na taasisi ya utafiti wa Mifugo kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi za kilimo Maruhubi.

    Amesema inaonesha wazi kuwa hakuna uwajibikaji kwa wataalamu

    Read More
  • 2024-06-09
  • WAZIRI WA KILIMO UMWAGAJILIAJI MALIASILI NA MIFUNGO MIFUGO MH SHAMATA SHAAME KHAMIS AMESEMA KUZINDULIWA KWA KAMPENI YA ELIMU KUHUSU ULAJI BORA KUTAWEZA KULETA MABADILIKO KIAFYA KWA WALAJI.

    WAZIRI WA KILIMO UMWAGAJILIAJI MALIASILI NA MIFUNGO MIFUGO MH SHAMATA SHAAME KHAMIS AMESEMA KUZINDULIWA KWA KAMPENI YA ELIMU KUHUSU ULAJI BORA KUTAWEZA KULETA MABADILIKO KIAFYA KWA WALAJI.

    AKIZINDUA KAMPENI YA LISHE KWA NJIA DALADALA HUKO KIBANDAMAITI AMESEMA HATUA HIYO ITAONGEZA UELEWA KWA WANAJAMII WOTE, JUU YA MATUMIZI SAHIHI YA VYAKULA NA KUPATA TAIFA LENYE AFYA INAYOKUBALIKA.

    AMESEMA NCHI YA TANZANIA IMEBARIKIWA KUWA NA VYAKULA VYA KILA AINA HATA HIVYO NI VYEMA WATU

    Read More
  • 2024-05-17
  • SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMESEMA ITAENDELEZA JITIHADA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI ILI NCHI NA UHAKIKA WA CHAKULA

    SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR IMESEMA ITAENDELEZA JITIHADA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI ILI NCHI NA UHAKIKA WA CHAKULA.

    AMEELEZA KUWA JUHUDI HIZO NI PAMOJA NA KUWEKA MIUNDOMBINU IMARA YA UPATIKANAJI WA PEMBEJEO NA VIFAA VYA UZALISHAJI KWA WAKULIMA .

    WAZIRI WA KILIMO, UMWAGAJILIAJI, MALIASILI NA MIFUGO, SHAMATA SHAAME KHAMIS, ALIELZA HAYO WAKATI AKIZUNGUMZA KATIKA HAFLA UA UZINDUZI WA MPANGO WA KUTOKOMEZA NA KUDHIBITI PANYA KATIKA MABONDE YA MPUNGA CHEJU, WILAYA YA

    Read More
  • 2024-05-17
  • SERIKALI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR INA DHAMIRA YA DHATI YA KUWAWEZESHA WANANCHI WAKE KATIKA KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Muungano na Mazingira Khamis Hamza Chilo amesema Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina dhamira ya dhati ya kuwawezesha Wananchi wake katika kujikwamua kiuchumi, kujipatia ajira, kujiongezea kipato na kujiletea Maendeleo katika kufanya shughuli mbali mbali za kiuchumi na kijamii zikiwemo shughuli za Utunzaji na Uhifadhi Mazingira pamoja na kufuga kwa tija.

    Mheshimiwa Hamza ameeleza hayo huko katika Ukumbi

    Read More
  • 2024-05-15
  • SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR NA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ZITAENDELEA KUZISIMAMIA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI.

    SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitaendelea kuzisimamia taasisi zisizo za kiserikali ili ziendelee kutekeleza majukumu yao kuunga mkono jitihada za kuharakisha upatikanaji wa rasilimali zinazohitajika na kujenga uchumi.

    Waziri wa Kilimo Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, alieleza hayo huko katika ukumbi wa wizara hiyo Maruhubi wakati wa uzinduzi wa mkutano wa utambulisho wa viongozi wa Chama cha Mazingira na

    Read More
  • 2024-05-14
  • SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR (SMZ) KUPITIA WIZARA YA KILIMO UMWAGILIAJI MALIASILI NA MIFUGO, INATHAMINI JUHUDI ZA WASHIRIKA WA MAENDELEO KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KUIMARISHA SEKTA YA KILIMO NCHINI.

    WAZIRI wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kupitia wizara yake inathamini juhudi za Washirika wa maendeleo kuunga mkono jitihada za serikali kuimarisha sekta ya kilimo nchini.

    Shamata alieleza hayo wakati wa uzinduzi wa utoaji wa matokeo ya uchunguzi wa sampuli za udongo kwa wakulima wa Zanzibar uliofanyika katika Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar (ZARI) Kizimbani wilaya ya magharibi ‘A’,

    Read More
  • 2024-05-09
  • KATIBU MKUU ALI KHAMIS JUMA AKIFUNGUA SEMINA YA SIKU MOJA YA KUJENGA UELEWA WA UWEPO WA SUMUKUVU KWA MASHEHA WA WILAYA YA MAGHARIB A UNGUJA HUKO KATIKA UKUMBI WA WIZARA HIYO MARUHUBI

    Katibu Mkuu wizara ya kilimo, Umwangiliaji, Maliasili na Mifugo Ali Khamis Juma amesema sumukuvu ni tatizo ambalo linalopaswa kudhibitiwa kwa nguvu ya pamoja.

    Hayo ameyasema wakati wa ufunguzi wa semina ya kujenga uwelewa wa Sumukuvu kwa Masheha wa Wilaya ya Magharib A Unguja

    Alisema jamii inapaswa kujuwa madhara ya sumu kuvu kwa kuwa madhara yake si ya mtu moja hivyo elimu itakayotolewa kwa masheha 388 wa shehiya za Unguja na Pemba yatakuwa Msaada mkubwa katika

    Read More
  • 2024-05-07
  • MKURUGENZI WA IDARA YA MISITU SAID JUMA ALI AMESEMA UPANDAJI WA MITI YA KUDUMU YA MISITU ITASAIDIA KUIREJESHA ZANZIBAR YA KIJANI.

    Mkurugenzi wa Idara ya Misitu Said Juma Ali amesema upandaji wa Miti ya kudumu ya Misitu itasaidia kuirejesha Zanzibar ya Kijani.

    Ameyasema hayo wakati wa Upandaji Miti iliyofanyika katika shamba la Misitu Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja uliowashirikisha Wafanyakazi wa Idara ya Misitu , Red Cross, Jumuiya ya Wazazi chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kazikazin Unguja.

    Alisema ni jambo la faraja kuona Taasisi mbalimbali zinashiriki katika Upandaji wa Miti jambo ambapo

    Read More
  • 2024-05-04
  • MKURUGENZI WA IDARA YA UTAFITI WA KILIMO KIZIMBANI SALMA OMAR MOHAMED AMEWASHAURI WAKULIMA WA MAZAO YA MUHOGO WATUMIE MBEGU BORA ZA MUHOGO ILI KUWEZA KUZALISHA KWA WINGI NA KUONGEZA KIPATO..........

    Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti wa Kilimo Kizimbani Salma Omar Mohamed amewashauri Wakulima wa Mazao ya Muhogo watumie Mbegu bora za Muhogo ili kuweza Kuzalisha Kwa Wingi na Kuongeza Kipato.

    Ndgu, Salma ameeleza hayo huko katika Shamba la Utafiti wa kilimo Kizimbani Wilaya ya Magharib "A" Unguja katika hafla ya Zoezi la Uvunaji wa Mbegu za Muhogo zinazostahamili Maradhi ya Michirizi ya Kahawia.

    Alisema Zoezi hilo Lina lengo la Kuwapatia Wakulima mbegu bora inayostahamili

    Read More
  • 2024-04-30
  • MKURUGENZI WA IDARA YA UMWAGILIAJI MAJI NDUGU, HAJI HIMID SALEH AMEZITAKA JUMUIYA ZA WAKULIMA WA BONDE LA CHAANI KUITUNZA NA KUISIMAMIA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI KWA KUENDELEZA KILIMO CHA MPUNGA

    Mkurugenzi wa Idara ya Umwangiliaji Maji Haji Hamid Saleh amezitaka Jumuiya za Wakulima wa Bonde la Chaani kuituza na kuisimamia Miundombinu ya Umwangiliaji iliyojengwa kwa ajili ya kuendeleza Kilimo cha Mpunga.

    Aliyasema hayo huko Chaani Wilaya ya Kaskazini A Unguja wakati akifunguwa Mafunzo ya Kilimo cha Mpunga kwa wenyeviti wa Jumuiya za Wakulima wa Bonde la Chaani.

    Amesema Lengo la Mafunzo hayo ni kuwawezesha Wakulima kujua mbinu bora za kutuza na

    Read More
  • 2024-04-28
  • SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR INAENDELEA NA JUHUDI ZA KUYAREJESHA MASHAMBA NA MISITU UNGUJA NA PEMBA KWA KUPANDA MITI ILI KUKIDHI MAHITAJI YA WANANCHI.

    Mkoa wa kaskazini Unguja. upandaji miti.

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea na juhudi za kuyarejesha mashamba yote ya Misitu ya Unguja na Pemba kwa kupanda miti ili kukidhi mahitaji ya wananchi

    Akizungumza kwa niaba ya waziri wa kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Mkuu wa Wilaya ya kaskazini A Othman Ali Maulid amesema hatua hiyo itaondoa tatizo la upatikanaji wa nishati ya kupikia na kukatwa kwa majengo.

    Alisema ni vyema kuongeza juhudi za

    Read More
  • 2024-04-24
  • KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO UMWAGILIAJI MALIASILI NA MIFUGO AMESEMA SEREKALI IPO TAYARI KUSIMAMIA UMOJA WA WAZALISHAJI NA WASAMBAZAJI MBEGU ILI KUPATA MBEGU MORA ZENYE TIJA KWA WAKULIMA

    Katibu Mkuu Wizara ya kilimo, Umwangiliaji, Malisili na Mifugo Ali khamis Juma amesema Serikali ipo tayari kusimamia Umoja wa Wazalishaji na wasambazaji Mbegu ili kuweza kuwa na mbegu zenye Ubora zitakazo leta manufaa kwa Wakulima.

    aliyasema hayo katika hotel ya Maru Maru Forodhani Unguja wakati akifunguwa Warsha ya Wadau wa Uzalishaji Mbegu iliyowashirikisha wataalamu watafiti, Tasisi binafsi za kilimo,wakulima na Makapuni ya usambazaji wa Mbegu kutoka Zanzibar na Tanzania

    Read More
  • 2024-04-15
  • KATIBU MKUU AWAHIMIZA WAKULIMA KUTUNZA MICHE NA VIFAA VYA ZAO LA KARAFUU

    Katibu Mkuu Wizara ya kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Ali Juma Khamis amewataka Wakulima wa Mikarafuu kutunza miche na Vifaa wanavyopewa ili lengo la kukuza Uzalishaji wa Zao hilo liweze kufikiwa.

    Hayo ameyasema huko Ofisini kwake Maruhubi Wakati wa Makabidhiano ya Vifaa vya Uzalishaji Miche ya Mikarafuu.

    Amesema Lengo la Utoaji wa vifaa hivyo ni kutokana na Mashirikiano yaliopo na ZSTC katika kuwasaidia Wakulima wa Zao hilo katika kuthamini Mchango wa Sekta ya

    Read More
  • 2024-04-09
  • SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUENDELEA KUIMARISHA MASHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI KUKUZA KILIMO BORA ZANZIBAR

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuimarisha Mashirikiano na Mashirika ya Maendeleo na Binafsi katika kuongeza Uwezekezaji ambao utasaidia kuwa na kilimo endelevu na Chenye tija.

    Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Mhe. Shamata Shaame Khamis ameeleza hayo wakati alipofungua Kikao cha Mkakati wa Majumuisho ya Uwezekezaji katika mazao ya Maziwa na Mwani huko katika Ukumbi wa ZURA.

    Shamata alisema fursa za Uwekezaji zilizomo katika Mnyororo wa

    Read More
  • 2024-03-24
  • SERA YA KILIMO KUSAIDIA KUSIMAMIA UZALISHAJI WA MAZAO

    Katibu Mkuu kiongozi wa Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhandisi Zeyna Ahmed Said amesema kuwepo kwa Sera ya kilimo kutasaidia kusimamia uzalishaji wa mazao na kuleta mabadiliko ya Sekta ya kilimo. AKIZUNGUMZA katika ukumbi wa ZURA Maisara wakati akifungua kikao cha kupitia Sera ya Kilimo na kupokea maoni kwa Makatibu wakuu na Manaibu katibu wa Mawizara ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar.


    Amesema kilimo kina umuhimu Mkubwa katika kuchangia pato la nchi ambapo

    Read More
  • 2024-03-21
  • WAZIRI WA KILIMO SHAMATA SHAAME KHAMIS ASEMA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MISITU LIBAKI KWA WANANCHI.

    Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Shamata Shaame Khamis amesema jukumu kubwa la usimamizi wa Rasilimali za Misitu linabaki kwa Wanachi kwani wao ndio watumiaji wakubwa wa rasilimali hizo.

    Shamata aliyasema hayo huko katika Maadhimisho ya siku ya Misitu duniani yaliyofanyika Jozani Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

    Alisema jambo hilo litakuwa la busara ikiwa Wananchi wenyewe wataendelea kuilinda, kuitunza na kuihifadhi Misitu kwa vile kukosekana kwake wao

    Read More
  • 2024-04-09
  • KATIBU ALI KHAMIS ASEMA USHIRIKISHWAJI WA JAMII NI NJIA PEKEE YA USIMAMIZI WA MISITU

    Katibu Mkuu Wizara ya kilimo,Umwangiliaji,Maliasili na Mifugo Ndg: Ali Khamis Juma Amesema ushirikiswaji wa jamii katika kutoa maoni yao ndio njia pekee itakayo saidia usimamizi mzuri wa misitu ya hifadhi.

    Akizungumza katika kikao cha mpango kazi wa usimamizi wa Msitu wa akiba wa Kidikotundu, Nongwe na Vundwe kilichowashirikisha wa wadau kutoka tasisi za Serekali na binafsi,wasimamizi wa misitu,wanyama pori na wanajamii kutoka Mkoa wa Kusini Unguja.


    Amesema

    Read More
  • 2024-03-19
  • WANAFUNZI WAPATA ELIMU YA MISITU KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA MISITU DUNIANI 2024

    Msaidizi Mkuu wa Hifadhi ya Kimaumbile ya Masingini Amour Khamis Juma amesema ipo haja kwa Jamii na Wanafunzi kuwashirikisha katika utoaji wa Elimu ili kujua umuhimu wa Misitu na kutambua rasilimali zilizopo ikiwemo wanyama, ndege na miti adimu sambamba na kuhifadhi mazingira kwa ujumla.

    Hayo ameeleza huko katika hifadhi ya kimaumbile ya masingini wakati alipokua akitoa elimu kwa wanafunzi wa skuli ya Mtoni Kigomeni, skuli ya Bububu ‘A’ na Mtopepo ‘B’ kwa kuelekea

    Read More
  • 2024-03-16
  • WAZIRI SHAMATA ATEMBELEA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI MAJI CHEJU

    Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Mheshimiwa Shamata Shaame Khamis amemtaka Mkandarasi anaehusika na Ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji ikiwemo Uchimbaji na utengenezaji wa Visima katika bonde la Cheju B kuhakikisha Ujenzi unamaliza kwa wakati ili Wakulima waweze kurudi katika mabonde yao na kuendelea na kilimo.

    Hayo ameyasema huko bonde la Cheju B Wilaya ya Kati Unguja ikiwa ni Ziara ya kuangalia Ujenzi unaoendelea kujengwa ktk bonde hilo

    Amesema

    Read More
  • 2024-03-14
  • SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR ITASHIRIKIANA NA WADAU WA KIMAENDELEO KATIKA TAFITI

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na Wadau wa kimaendeleo katika tafiti kwa nia ya kuongeza uzalishaji wa mazao ya mboga mboga na kuwajengea Uwezo Wakulima ili Kuongeza kasi ya Uchumi Nchini.

    Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo ZARI Dkt. Mohamed Dhamir Kombo ameyasema hayo huko katika Ukumbi wa Taasisi hiyo Kizimbani wakati alipofungua Mafunzo kwa Wakulima ya Uzalishaji wa mbegu bora za mboga mboga.

    Alisema Serikali imepiga hatua kubwa

    Read More
  • 2024-03-14
  • MAJAA MITAANI YAZIDISHA ONGEZEKO LA MBWA

    KUWEPO kwa majaa mengi ya taka kumetajwa kuwa ni miongoni mwa mambo yanayochangia kuwepo kwa mbwa wengi mitaani hali inayosababisha baadhi ya mbwa kukosa tiba ya chanjo kwa wakati kutokana na kutokua na wamiliki.

    Akitoa taarifa ya chanjo ya kichaa cha mbwa iliyotolewa na Idara ya Maendeleo ya Mifugo, Daktari Mkuu wa wanyama katika idara hiyo, Dk. Ali Zahran Mohamed, alisema kwa mwaka huu idara yake imeendesha zoezi la uchanjaji na mbwa wapatao 3,616 walipatiwa huduma hiyo katika

    Read More
  • 2024-03-14
  • SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YAWASHAURI WAKULIMA KUJIANDAA NA MSIMU WA MASIKA

    Kufuatia Utabiri wa Hali ya Mvua kwa kipindi cha Masika 2024, Wizara ya Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo imewashauri Wakulima kuandaa mashamba, kupanda, kupalilia pamoja na kutumia Pembejeo kwa wakati ili kuepuka athari za mvua ya Masika zinazotarajiwa kunyesha katika Visiwa vya Zanzibar.

    Hayo ameyasema Mkurugenzi wa Idara ya Mipango Sera na Utafiti, ndugu Makame Kitwana Makame huko katika Ukumbi wa Wizara hiyo Maruhubi wakati alipokua akijadili na Wakurugenzi pamoja na

    Read More
  • 2024-03-14
  • SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YARUHUSU UINGIZAJI WA NDIZI

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeruhusu uingizwaji wa zao la ndizi nchini sambamba na kuchukua tahadhari juu ya magonjwa mbali mbali yanayoathiri zao hilo

    Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Shamata Shaame Khamis, ametoa rai hiyo huko katika ukumbi wa wizara hiyo Maruhubi wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya uingizwaji wa zao la ndizi nchini kwa tahadhari maalum.


    Alisema mwaka 2007 Serikali ilitangaza marufuku ya kutoingiza mmea wa

    Read More